Posted by: dominicmuia on: September 27, 2008
Kuhusu vijana mitaani.vijana wengi mitaani hawana kazi huwa kazi yao ni Wengi wao wanahaza kutumia madawa ya kulevya kufanya mambo yasio faa. kurandaranda na kupoteza mwelekeo.maisha ya wengi wao hinakua mangumu zaidi. Hunapata vijana wengi wanao hishi kwenye jiji hawaogi, hawabadilishi mavazi.wengine wao wamezaliwa kwenye jiji, wengine walitoroka nyumbani kwao nawengine hawana matarajio ya kubadilika, Pia kunawengine ni mayatima wengine wana ile ujanja ya kutoka chini na kubadilika kimaisha.
Kwenye jiji vijana huwa wamechanganyika walio soma wasio soma hunapata vijana walio na masomo ya hali ya juu na wako pale.
Kama vile undugu kwa kuwaelimisha kimaisha kutoka pasio faa na kwenda juu sio wote wanakubaliana na maneno ya undugu.madawa na ulevi zote wanazo tumia kwakweli hazifai hata kidogo
Kile ambacho nigelitaka kuwahambia ni yakwamba vijana tuchanuke na tuache mambo ya ulevi ,wizi na ile riziki mtu anayo ahitumie bila kutaka vya bure wao kuishi kama mtu aliye jishidwa kujimudu kimaisha. Vijana kueni na imani yakwamba mnaweza jambo lolote.
Translation
About Street Children
Many youths in my base do not have jobs and their work is use drugs and to do things, which are not, supposed to be done. Loitering and losing direction of life and this makes their life become hard.
Many youths who live in street do not take birth and do not change their clothes and some of them were born in the streets, others run away from their homes and some do not have hope to change their life. There are those who are orphans and some change their way of life as they grow up.
In the streets you will find many youth who are mix up there are those who are educate and who are not educate and are still there.
for instance undugu has educated them through skills training and also education and this makes them to be different from coming out of streets. There are those who do not accept this chances and stay in the street abusing drugs, which is not acceptable at all.
what I would like to say is that youths should stop drugs and stealing so that the life which you have you can do something in steady of staying like you can’t do something for your self. Youths should have hope and you can do anything to make your life bright.