BORN IN THE GHETTO

Masomo Ya Bure

Posted by: dominicmuia on: November 1, 2008

Kutoka serikali ilete masomo ya bure wengi walifurahia. Nifuraha ifurahia sana kwa kua wangeweza karo kubwa kwa wa Kenya katika kimasomo kwa kuwa huweza elimu kujigaramia ya shule.Wengi wao hapa inchini Kenya huwa ni jamii masikini.

Hapo siku za mbeleni ulikua ukitembea mitaani hunapata watoto wengi walio na umri wa kua.

Lakini serikali iliamua na kufanya jambo la maana sana kwa kuwakumbuka masikini wasio na uwezo wa kujielimisha kuenda shule na kujigaramia.

Kutoka serikali ilete masomo bila malipo ukitembea kwenye shule nyingi utapata wanafunzi wamejezana huko kujivunia elimu ya bure bila malipo.

Watoto wengi huwa wanafurahia wakiwa shuleni wakisoma na wenzao.Kinacho nishangaza niya kwamba unapo tembelea shule nyingi za serikali unapata wanafunzi wanasoma isipo kua vile wanavyo kaa haiwahurahishi sana.

kule shuleni unapata wanafunzi wamejazana pale darasani wanasoma wakiwa wamfanya kwenye viti joto pia inawazidi.Unapata wanafunzi wanapo kua pale darasani wakisoma kuna tatizo linalo wakumba wanapo soma.

Ukiangalia madarasa mengi wanafunzi ni wengi sana wanapo kua wakisoma na kujazana unapata mwalimu ni mmoja na wanafunzi ni wengi. Hapo wanafunzi kushika ni vingumu kwa kua inafaa hewa iwepo pia wanapo funzwa wakiwa wachache unapata kusomeshwa yao inakua ni raisi kuelewa na kushika kilicho fundishwa na mwalimu.

Ningecho taka kusema serikali ifanye mpango ili kwenye shule iwagawanye wawe wanasoma wakiwa wachache wachache. Walimu nao serikali iwaongezehe wawe ni wengi kwakua kutoka shule ziwe bure watoto wengiwalienda shuleni kuanza kusoma.

Elimu ni nzuri serikali pia ifanye vyema sana kwa kuwasaidia masikini kwenda shule kusoma bila karo ya shule nigependa serikali iwaongeze walimu wewa ni wengi na pia izidi kuwashugulikia masikini kuhusu wasome kwakua wengi sana wangependa kusoma lakini awana huwezo.

Ni furaha ifurahia sana kwa kua wangeweza karo kubwa kwa wa Kenya katika kimasomo kwa kuwa huweza elimu kujigaramia ya shule.Wengi wao hapa inchini Kenya huwa ni jamii masikini.

Hapo siku za mbeleni ulikua ukitembea mitaani hunapata watoto wengi walio na umri wa kua,Isipo kuwa karo na mahitaji mengine waliohitaji hayakuepo iliwabidi.

Lakini serikali iliamua na kufanya jambo la maana sana kwa kuwakumbuka masikini wasio na uwezo wa kujielimisha kuenda shule na kujigaramia.

Translation

Free Education

When the government introduced free education many people were happy because they did not have much money to pay school fees because many people here in Kenya live beyond poverty line. There before you could work in the streets and find many children loitering who are not in school and are supposed to be in school.

The government did some thing good to remember these children who do not have the chance to go to school because of lack of school fees. Since the government has introduced free education when you visit many government schools you will find the classes are loaded.

Many children are happy when they are at school learning with their friends together. What makes me wonder is that when you visit these government schools you will find many children are happy although the way they sit in class is not good since they are loaded.

In these schools students are loaded and this makes them to feel uncomfortable since the class is small and there is no fresh air in that class, especially when it is a sunny day it becomes too hot for them.

When you look at the classes when the students are leaning you find that there is only one teacher and the students are many. This makes the students not to understand the material well but if they are not too many it will easier them to understand what the teacher is teaching.

What I would like to say is that the government to do something so that the number of students can be reduced and they can learn without being loaded. The government should also increase the number of teachers per school since the education is free and many children have gone to school to learn.

Education is good so the government did something positive to introduce free education especially those children who live beyond poverty since they lack the chance to be educated.

1 Response to "Masomo Ya Bure"

I agree with your points about education. The government should realize that the best way for their country to develop they need educated people to run it. By providing their people with an education they are ensuring that the future of the country is a good one. Thus, it is in the best interest of the government to provide funding to increase the amount of schools and teachers.

Leave a Reply